DHAHABU YA SH BILIONI 1.2 YAKAMATWA DAR
DHAHABU YA SH BILIONI 1.2 YAKAMATWA DAR.Vita dhidi ya utoroshaji wa madini ya dhahabu nchini Tanzania imeshika kasi mpya baada ya Kikosi Kazi (Taskforce) cha Wizara ya Madini, kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, kufanikiwa kukamata gramu 4,402.20 za dhahabu zenye thamani ya Shilingi 1,238,458,594.42 zikiwa njiani kutoroshwa nje ya mfumo rasmi wa…
